Wachezaji wa Zanzibar Heroes wapewa Mil 3 kila Mmoja na Rais wa Zanzibar

Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dr. Ally Mohamed Shein ametoa zawadi ya milioni 3 kwa kila mchezaji wa Zanzibar Heroes mapema leo, huku wakati huo huo Dr. Shein amewapa vijana hao viwanja vya ujenzi kila mmoja wao mapema leo.


Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post