Wakazi wa Dar es Salaam jana jioni walitumia usafiri wa UDART bila kulipa baada ya kuwepo kwa tatizo katika mfumo wa malipo. UDART wamesema tatizo lilidumu kwa saa 2 na hawakuweza kusimamisha usafiri sababu ni haki ya wananchi.
UDART WATOA OFA YA KUPANDA BURE
bySaksh Kiiza
-
0