Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kama serikali na CCM
wanaamini upinzani ni hasara kwa nchi wana wingi wa kutosha katika
bunge, wapitishe sheria wavifute.
Amesema pia viongozi wa dini wana uhuru wa kutoa mawazo yao na wana wajibu wa kusema, wakiona serikali au vyama vya upinzani vinakosea
Amesema pia viongozi wa dini wana uhuru wa kutoa mawazo yao na wana wajibu wa kusema, wakiona serikali au vyama vya upinzani vinakosea
Tags
Siasa