Wema Sepetu Afiwa Ashindwa Kutinga Mahakamani Kesi Yake Yaahirishwa

Image result for wema sepetu in sad

Kesi ya kutumia madawa ya kulevya inayomkabili Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu imeahirishwa leo katika Mahakama ya Mkazi Kisutu hadi Desemba 14 mwaka huu.
Akieleza sababu za kuahirishwa kwa kesi hiyo Wakili anayemsimamia Wema Sepetu, Peter Kibatala amesema mteja wake amefiwa hivyo asingeliweza kufika Mahakamani leo.

Wema Sepetu anakabiliwa na kesi ya kutumia madawa ya kulevya aina ya Bangi na tayari pande zote mbili zimesha wasilishaushahidi mahakamani.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post