Refa wa Kitanzania ateuliwa na FIFA kuchezesha Kombe la Dunia

#MICHEZO Mwamuzi Mtanzania Jonesia Rukyaa Kabakama ameteuliwa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), kuchezesha fainali za Kombe la Dunia kwa wanawake (Algarve Cup) zitakazofanyika nchini Ureno, Februari, 2018.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post