Mzee Kikwete aandika kuhusu starehe ya kustaafu “kujifanyia mambo yako mwenyewe”



Jakaya Mrisho Kikwete ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo sasa ni zaidi ya miaka miwili toka amalize miaka yake kumi ya Urais.
Inaonekana J.K anapafurahia zaidi uraiani ambapo hii sio mara ya kwanza kwake kupost picha zake akiwa kwenye shughuli za kiraia mtaani.
Nyingine ambayo ameiandika saa kadhaa zilizopita baada ya kuweka hizi picha ni >>>Starehe ya kustaafu na kubakia kuwa raia mashuhuri ni kuweza kujifanyia mambo yako mwenyewe ikiwemo manunuzi ya mahitaji ya nyumbani”



Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post