TANZIA: Mbunge wa Songea Mjini, Bw. Leonidas Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo ktk Hospitali ya Peramiho, Songea
> Amewahi kuwa Mkuu wa wilaya za Muheza, Nachingwea, Newala, Mbeya na Ilala na Mkuu wa mkoa Kilimanjaro
Soma | https://t.co/ZeAKjcuRHh
#JFLeo
Tags
kitaifa