Mama Lulu akitoka Mahakamani kwa majonzi baada ya Lulu kuhukumiwa (+picha 4)





Hizi ni picha zikiwaonyesha Wazazi wa Mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” wakitoka Mahamani baada ya Mwigizaji huyo kuhukumiwa miaka miwili jela kutokana na kesi iliyokua ikimkabili ya kuua bila kukusudia na kusababisha kifo cha Mwigizaji Steven Kanumba.
Wa kwanza kushoto ni Baba Mzazi wa Lulu na anaeonekana kashikiliwa ndio Mama Mzazi
FULL VIDEO: HALI ILIVYOKUA MAHAKAMANI BAADA YA LULU KUHUKUMIWA MIAKA MIWILI JELA
VIDEO: LULU MAHAKAMANI KABLA YA KUHUKUMIWA MIAKA MIWILI LEO

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post