Kijana wa miaka 23 atekwa na kubakwa siku 3

Polisi nchini Afrika kusini wapo katika msako wa wanawake watatu wanaeshutumiwa na tuhuma ya kumteka kijana wa miaka 23 na kumbaka kwa muda wa siku tatu. Bado upelelezi unaendelea kote nchini humo.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post