Breaking News: Rais Magufuli Amtaka Profesa Muhongo Aachie Ngazi Kutokana na Ripoti ya Makontena ya Mchanga

Kutokana na Madudu ya yaliyowekwa wazi na Taarifa ya Makontena ya Mchanga aliyokabithiwa Rais Leo hii, Rais Magufuli amemtaka Waziri Professor Dr. Sospeter Muhongo ajitasmini upya na amemtaki aachie ngazi

JPM Amenukuliwa akisema haya:

"...... .. Ni rafiki yangu lakini katika hili, 
Ajitathmini, Ningetaka ajiudhulu''-
JPM.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post