SOKA: Simba Yamalizana Na Kinda wa Kenya


Futaa.com South AfricaKwa mujibu wa taarifa kutoka nchini Kenya beki kisiki wa Gor Mahia Josh Onyango amesaini kandarasi ya miaka miwili na klabu Simba Sc

Onyago ambaye aliandika barua ya kuachana na Gor Mahia wiki mbili zilizopita anaelezwa kuwa atatua nchini wakati wowote kuanzia wiki hii

Josh alianza kuwika kwenye soka la Kenya mwaka 2018 na kufanikiwa kuitwa kwenye kikosi cha Harambe Stars kilichoshiriki michuano ya CAF nchini Misri

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post