Hamisa Mobetto Afunguka Kurudiana na Diamond Platnumz...

Hamisa Mobetto amesema " Watu wanasema nimerudiana na Diamond, lakini si ukweli yaani ni uongo na ni chonganishi...Mimi sipendi tabia ya watu kuzusha vitu ambavyo havina ukweli...tuwe tunafikiria vya kuzusha" Hamissa

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post