Mchezaji Kylian Mbappe Atwaa Tuzo Hii Kombe la Dunia



1998: Ufaransa ilishinda kombe la dunia kwa mara ya kwanza, Kylian Mbappe ndio alikuwa anazaliwa.
:
2018: Ufaransa imeshinda kombe la dunia kwa mara ya pili, Kylian Mbappe amefunga goli kwenye mchezo wa fainali.
:
Mbappe ametangazwa mchezaji bora chipukizi wa fainali za kombe la dunia 2018

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post