Leo May 15, 2018 Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro
ametangaza bei ukomo ya kuuza sukari katika wilaya hiyo na atakayeuza
bei zaidi ya hapo atakamatwa ameweka bei hiyo kwa kuzingatia bei ya
jumla katika soko la Arusha.
“Naomba niseme sukari ndani ya Arusha hasa katikati ya mji isiuzwe 2600 maeneo ya pembezoni inaweza kufika hapo, Watendaji wa Kata na Viongozi wa dola kasimamieni hili, tukiruhusu bei izidi hapo tutakuwa tumeruhsu wananchi watapeliwa” amesema Daqarro
“Naomba niseme sukari ndani ya Arusha hasa katikati ya mji isiuzwe 2600 maeneo ya pembezoni inaweza kufika hapo, Watendaji wa Kata na Viongozi wa dola kasimamieni hili, tukiruhusu bei izidi hapo tutakuwa tumeruhsu wananchi watapeliwa” amesema Daqarro
Tags
kitaifa