Mimi Mars Afunguka Kuhusu Kolabo


MWANADADA kiwango kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Marriane Mdee ‘Mimi Mars’, amefunguka kuwa miongoni mwa vitu anavyopenda kwenye muziki ni kufanya kazi kwa kushirikiana na wanamuziki wengine kwani ushirikiano ni kitu kizuri. 

Akipiga stori na Mikito Nusu Nusu, Mimi ambaye hivi karibuni amepiga kolabo na Frankie Maston na Yeyo Leslie, wa ngoma iitwayo Mi Nawe, amesema kushirikiana kwenye muziki ni kitu kizuri na ikitokea akihitajika na mtu.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post