Gigy Money “Huwezi Kumuona Mwanangu Hata Kwa Milioni 90”

Msanii wa bongofleva Gigy Money amethibitisha kupata mtoto wa kike ambaye amempa jina la Myra ambapo awali alimpatia jina la Candy lakini kasema kabadili hilo jina kwakuwa baadhi ya watu wenye majina ya Candy wamekuwa hawana sifa nzuri. 

Gigy Money amethibitisha hilo baada ya kuzungumza na millardayo.com na Ayo Tv na kusema kuwa hawezi kuitoa sura ya mtoto wake mpaka arobaini ifike na mpaka sasa mwanae kashapata u-ambassodor lakini hawezi kuionesha sura ya mwanae kwa sasa.. 

Bonyeza PLAY hapa chini kusikiliza FULL STORY… 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post