Prof. Jay na Mkewe Wazuiwa Kumuona Mbunge Sugu


Prof. Jay na Mkewe Wazuiwa Kumuona Mbunge Sugu


Prof. Jay na Mkewe Wazuiwa Kumuona Mbunge Sugu
Mbunge Joseph Haule (Prof. Jay) akiwa ameambatana na mke wake Grace Haule wamezuiliwa na uongozi wa gereza la Ruanda liliopo mkoani Mbeya kumuona Bunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi "Sugu" pamoja na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Emmanuel Masonga



Prof. Jay amethibitisha hayo kupitia moja ya kurasa zake za mtandao wa kijamii muda mchache alipowasili katika viwanja vya gereza la Ruanda kwa lengo la kutaka kuwajulia hali Sugu na Masonga ambao wamewekwa katika gereza hilo baada ya kunyimwa kwa dhamana katika kesi yao inayowakabiri

Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi 'Sugu' pamoja na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga wanakabiliwa na kosa la matumizi ya lugha ya fedhea dhidi ya Rais Dkt. Magufuli kesi yao itasikilizwa tena Februari 8 (Kesho) mwaka huu.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post