Picha ya Vyombo vya Zari Vyazua Gumzo.... Watu Waoji Mwanaume Aliyekuwa Naye Baada ya Picha Kuonyesha





Jana usiku Mwana mama Zari aliweka picha ya kuonyesha vyombo alivyo nunua akiwa nchini Dubai.ila gumzo kubwa ikawa ni picha inayo onekana kama imeakisiwa na vyombo ikimuonyesha mwanaume aliyekaa kwa mbali kidogo huku akiangalia simu.Watu wazidi kuhoji ni nani huyo mwanaume.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post