Breaking news: Joshua Nassari Afikishwa Mahakamani


Breaking news: Joshua Nassari Afikishwa Mahakamani
Taarifa kutoka Arusha zilizotufikia hivi karibuni ni kuhusu  Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arumeru.
Nassari anakabiliwa na tuhuma za shambulio analodaiwa kulifanya kwa aliyekuwa Mtendaji wa Kata ya Makiba mwaka 2014. Mtendaji huyo bado hajatajwa jina lake. 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post