Rais Kagame aapishwa leo hii kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU)



KUTOKA ETHIOPIA: Rais Kagame wa #Rwanda leo rasmi amekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) nafasi atakayoikalia kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Amekabidhiwa nafasi hiyo ili asimamie mageuzi ya Umoja huo ili taasisi hiyo iweze kujitegemea kifedha kutoka kwa nchi wanachama. #AUSummit2018 

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post