Breaking News: Ajali yauwa wawili asubuhi hii huko Pwani

#HABARI Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika eneo la Mwidu mkoani Pwani na kupelekea barabara kutumika upande mmoja.
Source: JamiiForums

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post