Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amekosoa mpango wa serikali kukopa fedha ili kutekeleza miradi mikubwa km ujenzi wa reli ya kisasa na mradi wa kuzalisha umeme (Stiegler's Gorge) na kusema itaua uchumi
- Ashauri sekta binafsi ziruhusiwe kuendesha miradi hiyo
#JFLeo
Tags
kitaifa