FIFA yautambulisha mpira utakaetumika katika Kombe la Dunia 2O18
byAdmin-
0
SOKA: Shirikisho la Mpira wa Miguu Ulimwenguni(FIFA) lautambulisha mpira maalum uliopewa jina la Telstar 18.
> Mpira huo utatumika katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi
#JFLeo