Jamali Malinzi ashikiliwa na TAKUKURU

Rais wa TFF anaeenda kumaliza muda wake mwaka huu Mh.Jamal Malinzi pamoja na Katibu wake wa TFF wanashikiliwa na Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa ya PCCB kwa tuhuma za rushwa na matumizi mabaya ya ofisi yake.

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post