Zari Ulikuwa Wapi Kabla ya Kifo cha Ivan..? Acha Unafiki Malipo Hapahapa Duniani..!!!


Mume uliyezaa nae watoto watano ukamuacha solemba, tamaa ya ujana ikakushika japo umri ulikutupa ukaja kufanya uasherati na kula raha na Diamond na kusahau kuwa ulipaswa uvumilie mlee watoto na wenzio.
Leo hii kwenye post yako unamwita great man na kumpa sifa kedekede marehemu Ivan baada ya kufariki kwani ulikuwa wapi kusema haya wakati hajafa?
Hili liwe funzo kwa wanawake mnaoacha waume zenu na kwenda kurukaruka na kula starehe iko siku watu mnaowaacha watakufa na kuwaacha ktk hali ambayo mtaumia sana. Sasa hivi Zari anatamani amuombe msamaha Ivan ila hawezi tena anatamani aseme neno lkn tayar amechelewa.
Hakuna wakati mgumu hapa duniani kama kudaiwa kihisia na marehemu
Credit - Jf

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post