RAIA WA UJERUMANI AULIWA NA KIJANA WA KI-AFGHANSTAN

Ni katika tukio lililoishangaza dunia hivi karibuni mwishoni mwa wiki,baada ya kijana mmoja raia  wa Afghanistan ambae pia alikuwa akifanya kazi ya Ulinzi, baada ya kumuua kwa risasi raia  mmoja wa Ujerumani. Tukio ambalo lilisemwa kama ni tukio la  kiubaguzi dhidi ya Wajerumani, na chuki iliyodhihiri kwa wa Afghan (Raia  wa Afghanistan) dhidi yao.

Source : www.bbc.com/swahili

Post a Comment

Kwa maoni na ushauri weka comment yako hapo chini:

Previous Post Next Post